Zijue Njia za Kienyeji katika Kuongeza YouTube Views na Subscriber ??

Image result for youtube FOLLOWERS
Tunapo Ongelea njia za kienyeji katika kuongeza Youtube Viewers na Subscribe nina maanisha njia zisizo rasmi zinazo weza kukuongezea View na Subscriber.

Subscriber ni nini.
Image result for youtube FOLLOWERS
Subscribe haina maana ya mbali sana na neno Followers (wafuasi au wafuatiliaji) mtu anapo Subscribe Chanel yako maana yake amependa kufuatilia chaneli yako pamoja na Videos zako unazo post kwenye hiyo Chanel yako. ikimaanisha kuwa ukiwa na subscriber 10 ina maanisha hao watu 10 ndio watakuwa wa kwanza kuona post zako za videos punde watakapo ingia Youtube.

Njia za kienyeji(zisizo rasmi)Unazoweza kutumia kuongeza subscriber.

Njia hizi zita tegemea na mambo au habari zinazo husu hiyo Chanel yako unayotaka kuanzisha kama vile ni ya Muziki, Habari, Michezo na kadhalika.

  •  Anza kwa kupost au ku re post Habari za Mastaa,Wanasiasa au watu maarufu.
                 Haapa nikimaanisha unatakiwa kucheza na wakati i mean kama channel yako wewe inahusu muziki basi jaribu kucheza na mastaa pamoja na habari zao, kwa mfano umesikia msanii yoyote mkubwa ametoa nyimbo leo ,Unachotakiwa kufanya ni kui download hiyo nyimbo na kuipost tena Kwenye Chanel yako kwasababu msaani mkubwa kama vile Diamond Platnumz au Ali Kiba wana wafuasi au mashabiki wengi wanao wafuatilia hivyo basi wanapo sikia kuwa mmoja wa wasanii hawa ametoa nyimbo mpya basi mashabiki wao hua ndio wa kwanza kukimbilia YouTube Kuitazama, Sasa hapo kwenye kutazama au kui search hiyo nyimbo ndipo watakapo kutana na Chanel Yako.
Ndipo watakapo anza kwa ku subscribe Channel yako wakiamini kuwa huenda ukawa ni poster mkubwa sana wa msanii wao wanao mfuatilia.

Lakini kuwa makini ???!!! Ukitaka kufanya njia Basi usi i monetize chanel yako kwa muda huo au unaweza uka de active kwa muda monetization  kwa ajili ya kuepuka copyright content kwenye chanel yako.

Nini Umuhimu wa kufanya hivyo.
Umuhimu wa kufanya hvyo ni kwamba unatengeneza watu ambao watakao kuwa viwers wako wakubwa katika channel yako ukiwa na subscriber wengi maana yake utakacho post kitaangaliwa na watu wengi katika kipindi cha muda mfupi.
Sasa ni bora ukaanza kuyatengeneza hayo mazingira mapema  kabla hujaanza kuifanyia monetization hiyo chanel yako.

Ili itakapofika kipindi cha kuifanyia monetization Channel tayari unakuwa na uhakika wa kuwa na viewers wengi  pamoja na kuingiza mpunga mwingi kwa siku kulingana na idadi ya viewers ulionao.

JE INATOSHA PEKEE KUPOST VITU VYA MASTAA NA KUPATA VIEWERS NA SUBSCRIBE NYINGI?????????????.

    Jibu ni hapana haitoshi pekee kupost vitu vya mastaa  na kupiga kimya kusikilizia viewers waje wenyewe , Ingawa ni kweli huja wenyewe lakini juhudi binafsi lazima zitumike kwa ajili ya kuonge kwa kasi hao Viwers na Subscribe kama upo Serious na kumake money YouTube.

Baada ya ku upload hiyo Video yako YouTube  mwishoni utapata link ya hiyo video yako ambayo umei upload YouTube.
Itumie hiyo link kuisambaza katika Social Media kwa ma fans husika kwa mfano ukiingia Facebook uka search Team Kiba Au Team Wasafi,Mond au vyovyote apo ndipo paku share hiyo link yako pamoja na kuiandikia kaujumbe kaku vutia ili uwa vutie mashabiki wake ,na kwasababu wana mpenda basi wengi watakimbilia kuiangalia hiyo Videos ambayo umeipost kwa kuwa ina muhusu fans wao au Mwanasiasa wao.

Na hapo ndipo utakapo anza Ku enjoy Maisha ya YouTube.
Usiogope kuandika post au Habari yoyote ile kwa maana ukifikia hatua ya kufungua chanel YouTube au Blog ina maanisha wewe ni Mwandishi wa Habari hatakama hujasomea habari kwa maana YouTube wata kutambua kama Publisher.

Kama Utakuwa na Swali Au Huja Nielewa Sehemu Yoyote ile nipigie,text au whats app kwa namba  0718 332120.
NEXT POST TUTAONGELEA NJIA KUU MUHIMU ZA KUONGEZA VIEWERS NA SUBSCRIBER KWENYE YOUTUBE KWA LUGHA YA KISWAHILI. KWA WALE WANAO ELEWA KISWAHILI SABABU POST IPO NA NIME IANDAA KWA KINGEREZA KUTOKANA NA SIM NILIZO KUWA NIKIPOKEA KWA NDUGU ZETU WA KENYA NIGERIA  NA  ZAMBIA SO KUWA KARIBU NAMI. NA USI SAHAU KU RATE APP YETU


                                                             AHSANTE 

Comments

  1. Ahsante sana
    Tembelea chenall yetu ya youtube ya "YASMTAZ TV" na usisahau ku-subscribe

    ReplyDelete
  2. Ahsante sana
    Tembelea chenall yetu ya youtube ya "YASMTAZ TV" na usisahau ku-subscribe

    ReplyDelete
  3. A boy from Dodoma tz don't forget subscriber my YouTube channel John the prince

    ReplyDelete
  4. Please subscribe my channel ABELVIL TV

    ReplyDelete
  5. Tembelea Acaunt yangu
    Baraka laizer king msai

    ReplyDelete
  6. Njoo katika account yanguu ya YouTube upatee beats kalii apdated afro beats search kwa kuandika drizo tz usisahau lusubscribe na kukoment

    ReplyDelete
  7. To increase followers follow sharing techniques:
    1. Share videos on Facebook, Twitter, LinkedIn, Instagram
    2. Share Videos on Whatsapp
    3. Share videos on Telegram
    4. Share videos on Blogs
    5. Share videos on other videos comments
    Sharing plays very big role to increase subscribers. On some niche it will not work when competition is very high or niche searches is very low. Then you can increase followers by ytfollowers.

    ReplyDelete
  8. https://youtu.be/xLivwBV8G8s
    kupata maujanja mengi kuhusu youtube tembelea๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘† mngale tv usisahau ku subscribe

    ReplyDelete
  9. Karibuni tan tv Tanzania
    https://youtu.be/SYqNzjl_rf0

    ReplyDelete
  10. Please subscribe my you tube channel: Baby Luna
    https://youtu.be/o9PC8cQKvSk

    ReplyDelete
  11. https://youtube.com/channel/UC9fLLEY_V_lrfrVWxRo-TrQ

    ReplyDelete
  12. CHUMA ULETE YA CHUNGU

    Kwanza CHUMA ulete Ni nini?
    Ni dawa ambayo utengenezwa kwa mkusanyiko wa utaratibu Fulani unaofanyika kwa pamoja kwa mlengo wa uvutaji au uvunaji wa fedha kutoka sehemu tofauti au mbalimbali.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI

    CHUMA ulete katika utengenezwaji hutumika jini anayeitwa GHUUL ambae uleta au uvuta fedha kimazingala kutoka sehemu mbalimbali kwa utaratibu maalumu. CHUMA ulete zipo Aina nyingi Ila leo nitazungumzia CHUMA ulete mdogo ya CHUNGU.

    Chuma uleteee ndogo ya chungu ambayoo inaluka na kwenda kukusanya pesa sehemu mbali mbali inavuta pesa ndanii .

    Hii chakula chake ni udi tuu na unaweza kunuwiza ukachagua ukaomba ikuletee pesa za aina gani wewe utachaguwa kama unavyoona hapo kwenye picha hii ni chuma uleteee ndogo mtu yeyotee anaweza kutengenezewa hata kama huna biashala pia hata Kama upo mbali kikubwa tu uwe na uwezo wa kutunza sili. Vile vileee hii inadumu miaka 5 itakubidii uludi kuja kutengeneza upya kafara ya damu ya kuku mwekunduu inatakiwa kila baada ya miezi 3.

    Tafuta chungu kama icho kwenye picha fanya duwa maalumu ambayo nitakupatia na tafuta udi Aina ya sain frola, metrofrolla au metromillan na kitambaa cheupe pia chumba kisafi kwa ajili ya ibada hiyo. @highlight @highlight TAWALA ZA MAJINI NA TIBA ZAKE NA NJISI YA KUWA TUMIA Following
    Kumbuka hii ni chuma uleteee ndogo ya chungu hutakiwi kutoaa sili ya jini huyu na ufalume wa jini huyu maana utavunja miiko na maagano ya Jambo Hilo.
    CHUMA ULETE YA CHUNGU

    Kwanza CHUMA ulete Ni nini?
    Ni dawa ambayo utengenezwa kwa mkusanyiko wa utaratibu Fulani unaofanyika kwa pamoja kwa mlengo wa uvutaji au uvunaji wa fedha kutoka sehemu tofauti au mbalimbali.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI

    CHUMA ulete katika utengenezwaji hutumika jini anayeitwa GHUUL ambae uleta au uvuta fedha kimazingala kutoka sehemu mbalimbali kwa utaratibu maalumu. CHUMA ulete zipo Aina nyingi Ila leo nitazungumzia CHUMA ulete mdogo ya CHUNGU.

    Chuma uleteee ndogo ya chungu ambayoo inaluka na kwenda kukusanya pesa sehemu mbali mbali inavuta pesa ndanii .

    Hii chakula chake ni udi tuu na unaweza kunuwiza ukachagua ukaomba ikuletee pesa za aina gani wewe utachaguwa kama unavyoona hapo kwenye picha hii ni chuma uleteee ndogo mtu yeyotee anaweza kutengenezewa hata kama huna biashala pia hata Kama upo mbali kikubwa tu uwe na uwezo wa kutunza sili. Vile vileee hii inadumu miaka 5 itakubidii uludi kuja kutengeneza upya kafara ya damu ya kuku mwekunduu inatakiwa kila baada ya miezi 3.

    Tafuta chungu kama icho kwenye picha fanya duwa maalumu ambayo nitakupatia na tafuta udi Aina ya sain frola, metrofrolla au metromillan na kitambaa cheupe pia chumba kisafi kwa ajili ya ibada hiyo. @highlight @highlight TAWALA ZA MAJINI NA TIBA ZAKE NA NJISI YA KUWA TUMIA Following
    Kumbuka hii ni chuma uleteee ndogo ya chungu hutakiwi kutoaa sili ya jini huyu na ufalume wa jini huyu maana utavunja miiko na maagano ya Jambo Hilo.

    Angalizo Piga simu kuepuka MATAPELI pia kwa maelekezo zaidi husifanye jambo hili bila maelekezo KAMILI.

    DOKTA MDIRO

    Call/whatsup +255 742162843
    Angalizo Piga simu kuepuka MATAPELI pia kwa maelekezo zaidi husifanye jambo hili bila maelekezo KAMILI.

    DOKTA MDIRO

    Call/whatsup +255 742162843

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

JINSI YA KUPIGA PESA NDEFU KUPITIA BLOG BUREE

Jinsi ya ku promote YouTube Chanel Yako watu waka ifahamu kwa wingi ?